Monday, March 24, 2014

MESSI APIGA HAT TRICK, PENALTI MBILI BARCA IKIILAZA REAL 4-3 BENRABEU













Lionel Messi akiibusu nembo ya jezi ya Barcelona baada ya kufunga bao la ushindi katika El Clasico
MSHAMBULIAJI Lionel Messi amepiga hat-trick usiku huu Barcelona ikishinda 4-3 dhidi ya Real Madrid katika mchezo wa La Liga uliofanyika Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid.
Andres Iniesta alianza kuifungia Barcelona dakika ya saba, Karim Benzema akaisawazishia Real dakika ya 20 na kufunga la pili dakika ya 24.

Barcelona ikazinduka na kupata bao la kusawazisha dakika ya 42 kupitia kwa Messi, lakini Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akaifungia Real bao la tatu dakika ya 55 kwa penalti.
Bin Zubberi

No comments: