Sunday, January 27, 2013

PICHA ZINAZOONESHA MATUKIO YA MKOANI MTWARA

Kulia ni Rais Kikwete, na Kushoro ni Prof. Ibrahim Lipumba 

 
HILI NI GARI LILILOCHOMWA MOTO IKISEMEKANA GARI HILO LILIKWENDA KUMFUATA BIBI (Upande wa kulia) ALIYESEMA KUWA WAKIAMISHA GESI KWENDA DAR ES SALAAM ITAGEUKA KUWA MAJI


Hizi ni nyaraka za serikali zikiungua moto mjini Masasi Juzi
Picha hii imewekwa inaonesha hali ya usafiri Mikoa ya Kusini. Walio wengi wanadai kuwa iweje bomba la gesi lijengwe miaka miwili wakati Barabara hii tangia uhuru wa Tanzania hadi leo haijawekwa lami?
Nyumba ya Mbunge wa Jimbo la Masasi,Mariam Masembe ambayo ilichomwa moto juzi na watu wenye hasira. Vitu mbalimbali viliharibiwa.Picha na Mpiga Picha Maalum-Mwananchi
Hii ni katuni ya Masudi Kipanya ikionesha kuwa ukitembelea na kuamia mtwara unaweza kuwa tajiri eti kwa kuwa gesi inapatikana hapo.
Rais wa Awamu ya Tatu Mh. Benjamin W. Mkapa aliyetoa kauli kwamba wananchi wasitishe maandamano badala yake wakae meza moja ya mazungumzo ili kufikia muhafaka.

No comments: