Friday, January 25, 2013

FUJO ZILIZOTOKEA MKOANI PWANI, KIBITI, RUFIJI ZITAFUTIWE UFUMBUZI

HAWA NI WANANCHI WA KIBITI JANA MCHANA WAKIVAMIA KITUO CHA POLISI KWA LENGO LA KUKICHOMA MOTO

Source: michuzi.blogsppot.com

Kwa sasa imeonekana ni hali ya kawaida watu kujichukulia uamuzi mikononi. Mwizi akikamatwa kuchomwa moto au kupiga hadi kuua. Maandamano kila kukicha Tanzania hadi inaleta shaka sana kuhusu uwajibikaji wa vionozi wetu. je wananchi wanasikilizwa kweli shida zao?

No comments: