Tuesday, May 8, 2012

IS IT UN PERFORM ITS WORK EFFECTIVELY?

Nashangaa maamuzi ya UN kwa kutoichukulia SYRIA maamuzi yaliyo na tija.leo nazungmzia sala la UN (united Nation) juu ya mzozo wa Syria. ukweli ni kwamba hii UN inaonekana kama kivuli yaani ipo tu kwenye karatasi. hali ya Syria leo hii ni mbaya na yule Rais Asadi anaendeleza kali ya kusema hawezi kukaa meza moja na magaidi katika nchi yake (chanzo cha habari ni DW swahili saa 12.00, DW news).

wale ni waasi na nchi za magharibi wanawaona kama hawana makosa. hivi katika nchi zao ikitokea kuna makundi ya wapinzani yanayolenga kuleta mabadiliko kama yale ya waasi kule Syria na Libya watawaunga mkono au watawamaliza kwa kufagia virungu? UN ipo ipo tu. leo mamia ya watu wanauawa lakini hiki chombo kinaamini wale waangalizi watafanya kazi ipasavyo. huu ni uhuni wa hali ya juu.

kwanini mtu asizuiwe kufanya mauaji. kule Libya walikwenda haraka na majeshi ya yao ya NATO yakiongozwa na Mfaransa chini ya Rais aliyeshindwa uchaguzi mkuu uliofanyika siku ya jumapili. kumbe ikiwa huku kwetu wanamvamia na majeshi yale yale ya majuu lakini ikitokea wale rafiki zao waarabu kama Syria wanawachekea. jamani nashangaa tunatoka wapi tunaelekea wapi na mwisho wake nini.

DW na VOA inatangaza kuwa wat wale inaonyesha ni vita ya wenyewe kwa wenyewe. hivi ninyi UN mnafanya kazi gani hadi watu wanauana wenyewe kwa wenyewe. unasikitisha sana kuona chombo kama hiki kuwa na ndoto kuwa watafanikiwa mbinu yao kumbe ni kupoteza muda. kauli iliyonaswa leo hii na vyombo vya habari mbalimbali inaonyesha hali inaelekea kuwa mbaya na Rais ataki kabisa kukaa meza moja na waasi.

chombo hiki kwa waafrica walio wengi pamoja na mimi naona kimeshindwa kazi maana huwezi kuwaacha wat wauane. kuna tofauti gani kati ya yale yaliyotokea Libya na Syria? hata ile mahakama yao naona pia ni kwa ajili yet sisi waafrica. wazungu kule ze hegggggggggggggggggggggggg no. wanakaa kimya. heb nirudi ndani ya mada husika iliyopo mezani kwa sasa. hivi zile goals zake zipo kwenye karatasi tu? naomba majibu wadau wenzangu. maana sielewi tunakwenda wapi? tunatoka wapi na hiki chombo maarufu.

sijamaliza lakini naishia hapo kwa kuwa wengi wamezngmza lakini mimi naona haya niliyozungumza yanatosha kwa leo. www.mwanaharakati.com