Friday, April 4, 2014

3 wahukumiwa kifo kwa ubakaji India

Maandamano ya kupinga ubakaji India


Wanaume watatu wamehukumiwa kifo Mjini Mumbai, India baada ya kupatikana na hatia katika visa tofauti vya ubakaji walioufanya kwa pamoja.
Moja ya visa hivyo kilitokea dhidi ya mwandishi mpiga picha aliyekuwa kazini alipobakwa.

Uamuzi huo umefanywa chini ya sheria mpya iliyopitishwa ya kuwaadhibibu wanaoendeleza uhalifu huo wa ubakaji.
Sheria hiyo ilipitishwa baada ya kile kisa Delhi kilichoughadhabisha umma cha msichana aliyebakwa na ngege basini na kujeruhiwa vibaya sana.

Wanaume hao walikuwa wameshitakiwa kwa kesi ya kumbaka msichana huyo mwandishi aliyekuwa ameenda kupiga picha kiwanda cha nguo kilichotelekezwa, lakini pia mwanamke mwengine akajitokeza na kutoa ushahidi wa jinsi wanaume hao walivyombaka maeneo hayo hayo mwezi mmoja kabla.

Wahukumiwa hao wanaweza kukata rufaa kwa mahakama ya juu zaidi.
Kuongezaka kwa visa vya ubakaji vimepelekea maaandamano ya mara kwa mara nchini humo na sasa mahakama zinaharakisha kusikilizwa kwa kesi hizo.

Pia limekuwa swala la mijadala mikali katika kampeni za uchaguzi unatajariwa hivi karibuni nchini humo.

IN ENGLISH

Three sentenced to death in Mumbai rape case
Court finds suspects guilty of gang-raping photojournalist at abandoned textile mill in India's financial hub last year.
An Indian court has sentenced three men to death for the rape of a photojournalist inside an abandoned textile mill in the financial hub of Mumbai last year.

A fourth defendant was sentenced to life in prison, prosecutor Ujjwal Nikam told the Reuters news agency on Friday.

He said he had asked for the death sentence under a strict anti-rape law introduced following public outrage over a fatal gang-rape in New Delhi in 2012.

"This is the first case in India in which the death penalty has been given to convicts while the victim is alive," Nikam said.

The three men were found guilty last month of raping a call-centre operator at the same abandoned mill in July 2013, months before the attack on the photojournalist.


Spotlight
Follow our special India coverage
Nikam described the three as habitual offenders.

Judge Shalini Phansalkar-Joshi said the offense was diabolical in nature and the punishment would send a strong message to the society.

Penalties increased

India increased penalties for sex crimes and moved rape trials faster through its notoriously slow justice system after a 23-year-old medical student was gang-raped on a moving bus in the capital and later died. Four men were sentenced to death in the New Delhi case.

The trials in New Delhi and Mumbai cases were completed within seven months. The four men convicted in the Mumbai case can appeal the death sentence in an appeals court within three months.

Also on Friday, 24 men were sentenced to prison for raping a teenager who was abducted in Kerala state in 1996.

A court had acquitted all but one defendant in 2005, but India's top court ordered a retrial last year. It was completed
in six months, prosecutor Anella George said.

One man was sentenced to life in prison and 23 others from seven to 11 years, George said.

The 16-year-old victim was abducted and raped in homes, hotels, cars and public buses over one and a half months. The men convicted in Ernakulam town included a retired professor, lawyers, businessmen and government officials.
Source: Al Jazeera

No comments: