Wednesday, October 30, 2013

RUFAA YA BABU SEYA, PAPII KOCHA KILICHOBAKI HUKUMU





Baada ya majaji wa Mahakama ya Rufaa jijini Dar es Salaam kupitia hoja za mawakili wa serikali na utetezi kwenye Rufaa ya hukumu ya kifungo cha maisha jela katika kesi iliyokuwa ikimkabili mwanamuziki Nguza Viking 'Babu Seya' na mwanaye Johnson Nguza 'Papii Kocha', wameamua kuhairisha rufaa hiyo mpaka tarehe husika ya kutoa hukumu ya kesi hiyo itakapopangwa hapo baadaye.
(Picha na Richard Bukos / GPL)

No comments: