Saturday, February 2, 2013

ZOEZI KAMA HILI LILILOFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM LIFANYIKE MAENEO YOTE ILI KUKOMESHA BIASHARA YA NGONO






Kuna baadhi ya Watanzania wenzeti wanataka kuifanya biashara ya ngono kuwa halali. Hii biashara kwa nchi yetu haijahalalishwa kabisa. Nadhani msomaji wangu umewahi kusikia biashara ya ngono ambayo hufanywa na baadhi ya wanawake nchini.

No comments: