Saturday, February 16, 2013

JIJINI MBEYA JANA USIKU ILITOKEA AJALI MBAYA YA KUGONGANA MAGARI USO KWA USO

 Kisa cha ajali ni Dereva Mwenye Gari Nyekundu kulewa kupita kiasi. Hata Baada ya kutokea ajali hiyo Dereva wa Gari nyekundu alikuwa ajitambui kwa sababu alikuwa amekunywa pombe kupitiliza.
 MAGARI YALIYOGONGANA USO KWA USO NI HAYA (Hapa ni Baada ya Kusogezwa Barabarani. Gali la Mbele lilisukumiwa kwenye Mtaro wa Maji Lakini picha za Asubuhi hii kama zinavyoonekana ni baada ya Kuondolewa kwenye Mtaro. Picha na Chiwambo

Dereva wa hili gari ndiye Msababishaji wa Ajali. Baada ya Matengenezo alikuwa analijaribu kama limepona baada ya kulewa

 PICHA ZA HAPA JUU NI AJALI ILIYOTOKEA JANA. AJALI MBAYA YA ILIYOHUSISHA KUGONGANA MAGARI USIKU HUU YATOKEA JIJINI MBEYA MAENEO YA BLOCK "T" NYUMA YA TEKU UNIVERSITY. CHANZO CHA AJALI NI DEREVA WA GARI LENYE USAJILI NO. T940 AAG KULEWA KUPITA KIASI AMBAPO ALILIGONGA GALI NO. T228 ALC. HADI TUNARUSHA MTAMBONI GARI ASKARI WA USALAMA BARABARANI WALIKUWA WAMEWASIRI.



Picha hizi Tatu za Chini ni ajali nyingine iliyotokea Mwishoni mwa wiki iliyopita  karibu na eneo la ajali ya jana Maeneo ya Block "T" TEKU university.

No comments: