Friday, August 9, 2013

KARIBUNI MAKUMBUSHO YA MAJIMAJI SONGEA UJIONEE YALIYOTOKEA ENZI HIZO ZA VITA VYA MAJIMAJI NA HISTORIA YAKE

                                    Hili ni lango la kuingilia ndani ya Makumbusho ya Majimaji

 Huyo ni Ausi Chiwambo mmiliki wa Chiwambo's Blog baada ya kutoka ndani ya Makumbusho ya Majimaji

       Huyu ni Evance Silinu Rafiki yangu na nimemaliza Shule ya Sekondari Masonya miaka mingi iliyopita
 Huu ni Mnara wa waliokufa vita vya Majimaji. Juu ya Mnara huu kuna Sanamu ya Askari wa Kitanzania ambao ni Wananchi waliojitolea harakati za kuondoa utawala wa kikoloni Miaka kwa miaka iliyopita.




 Humu ni ndani ya majengo ya Makumbusho ya Vita vya majimaji na Nyuma ya majengo hayo upande wa kushoto kuna makaburi ya Wahanga Wa Vita Vya Majimaji iliyotokea miaka Mingi iliyopita katika historia.

Karibuni sana  Wadau Wangu Huko Songea kujionea Makumbusho ya vita vya Majimaji, Pia Tembelea mbuga za Wanyama, milima ya Mawe isiyokuwa na michanga au udongo, mapango ya milima, Misitu minene, Mito mikubwa inayotililisha maji mwaka Mzima ikiwemo mto Ruvuma. 

No comments: