Monday, January 28, 2013

PICHA HALISI ZINAZOONESHA KUANZA KWA MAANDAMANO MTWARA SIKU YA KWANZA MWISHONI MWA MWAKA 2012 HADI SASA


 Mwanzoni mwa maandamano yaliyotokea Mtwara yalipambwa na Mabango ya aina hii. Hii ni siku ya kwanza ya maandamano.
Haya ni mabango mengine
 Hizi ni nyaraka za serikali zikiungua moto mjini Masasi Juzi



 Wauguzi wa Hospitali ya Ndanda wakisubili majeruhi

 Nyumba ya Mbunge wa Jimbo la Masasi,Mariam Masembe ambayo ilichomwa moto juzi na watu wenye hasira. Vitu mbalimbali viliharibiwa.Picha na Mpiga Picha Maalum-Mwananchi


HILI NI GARI LILILOCHOMWA MOTO IKISEMEKANA GARI HILO LILIKWENDA KUMFUATA BIBI (Upande wa kulia) ALIYESEMA KUWA WAKIAMISHA GESI KWENDA DAR ES SALAAM ITAGEUKA KUWA MAJI




 Hili ni gali la kubebea wagonjwa


Huu  ni siku ya kwanza maandamano yalianza kama inavyoonekana wakiwa na mabango yao yaliyoonesha madai yao




 Hii picha imechukuliwa kutoka Masasi








 Nyumba ya Mbunge wa Jimbo la Masasi,Mariam Masembe ambayo ilichomwa moto juzi na watu wenye hasira. Vitu mbalimbali viliharibiwa.Picha na Mpiga Picha Maalum-Mwananchi

 
 MJI WA MASASI KWA MBALI INAONEKANA NAMNA HII

No comments: